Thursday, 17 October 2019

VIDONDA VYA TUMBO

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yeyote ya ukuta wa tumbo au utumbo wa binadamu.

Kwa kawaida tatizo hili huleta maumivu makali sana ya tumbo ingawa si lazima kila maumivu ayapatayo mgonjwa husababishwa na vidonda vya tumbo.

Chanzo, dalili, tiba na Madhara ya ugonjwa wa vionda vya tumbo (PUD)

Yafaham yote hayo hapa👇👇👇

https://schoolpvh.blogspot.com/p/vidonda.html?m=1

No comments:

Post a Comment

Kazi na Mchango wa Dkt. Johannes L. Lukumay katika kupigania maendeleo ya jamii

  Dkt. Johannes L. Lukumay Mgombea Ubunge - Arumeru Magharibi Dkt. Johannes Lembulung’ Lukumay alianza taaluma yake ya afya zaidi ya miaka ...