VIDONDA VYA TUMBO
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yeyote ya ukuta wa tumbo au utumbo wa binadamu.
Kwa kawaida tatizo hili huleta maumivu makali sana ya tumbo ingawa si lazima kila maumivu ayapatayo mgonjwa husababishwa na vidonda vya tumbo.
Chanzo, dalili, tiba na Madhara ya ugonjwa wa vionda vya tumbo (PUD)
Yafaham yote hayo hapa👇👇👇
https://schoolpvh.blogspot.com/p/vidonda.html?m=1
Thursday, 17 October 2019
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kazi na Mchango wa Dkt. Johannes L. Lukumay katika kupigania maendeleo ya jamii
Dkt. Johannes L. Lukumay Mgombea Ubunge - Arumeru Magharibi Dkt. Johannes Lembulung’ Lukumay alianza taaluma yake ya afya zaidi ya miaka ...
-
The Best 8 Free and Open Source Library Management Software Solutions For many of us, nothing seems more important than reading a book. “W...
-
VIDONDA VYA TUMBO Ugonjwa wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yeyot...
No comments:
Post a Comment