π₯NEWSπ₯ π₯NEWSπ₯
KENYA: Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha kuna wagonjwa wengine wapya 2 wa #CoronaVirus > Atangaza kuzuia watu kusafiri nje ya nchi kwa siku 30 kuanzia leo > Aagiza Taasisi za Elimu kufungwa kuanzia kesho; waliokuja Kenya ndani ya siku 14 zilizopita wajitenge
πππππ
No comments:
Post a Comment